a
Mwa 16:12
;
Ay 6:5
b
Za 107:34
;
Yer 2:24
;
14:6
;
Hos 8:9
Job 39:5-6
5
a
“Ni nani aliyemwachia punda-mwitu awe huru?
Ni nani aliyezifungua kamba zake?
6
b
Nimempa nchi isiyokaliwa na watu kuwa masikani yake,
nchi ya chumvi kuwa makao yake.
Copyright information for
SwhNEN